Kutoka Mwananchi: Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akiwakaribisha wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini pamoja na waendesha bodaboda waliomtembelea nyumbani kwake Dodoma hivi karibuni kumshawishi agombee urais. Hao hao watoto ndio viongozi, madaktari na walimu wa kesho. Na JANETH MUSHI – ARUSHA. Namna 'tingatinga' John Magufuli alivyoiongoza Tanzania kwa miaka sita, Wafahamu viongozi wa Afrika waliofariki madarakani, Salamu za rambirambi zaendelea kumiminika kufuatia kifo cha Rais Magufuli, Mabaki ya kipekee ya Biblia yapatikana Israel, Fahamu sababu za nywele kudondoka na tiba yake. hakuna watu makanjanja na jeur kama bodi ya mikopo,kwanza haiangalii wa2 ambao wanaotoka ktk mazingira magum,pia hawana kumbu2 sahihi kuhusu wadaiwa! MTOTO wa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Bw. Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Mke wa Marehemu Balozi Kaduma, Happiness Kaduma akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa alipofika nyumbani kwa marehemu kuhani msiba. Magufuli na hakuanza Yeye Kuteua Watoto wa ' Vigogo ' nchini, Rais Magufuli hataki watoto wafundishwe English, wafundishwe lugha za asili. Aidha, amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutumia vizuri mamlaka yake. kunawatu wameenda chuo wakitokea makazn hawa ndio wanaopata asilimia 100 na wanaotoka ktk familia na yatima hupata asilimia ndogo sana. Samia Suluhu Hassan ndiye rais mpya wa Tanzania. cjui wamekula maharage ya wap hawa wa2 n hatar kwa mustakabal wa watoto wa … Read our Privacy Policy. ... mpango wa serikali uliofanikiwa wa ujenzi wa shule za kata ambazo uliiletea Tanzania sifa kubwa kwa kutoa fursa ya watoto wengi kupata nafasi shuleni. Fanya hivi... Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Fred Lowassa ni miongoni mwa wanachama watano wa Chadema waliochukua fomu za kugombea ubunge jimbo la Monduli mkoani Arusha. Aliyedai kuwa ni mtoto wa Lowassa atiwa mbaroni 3 years ago Comments Off on Aliyedai kuwa ni mtoto wa Lowassa atiwa mbaroni Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam, Lazaro Mambosasa amesema kwa sasa wanamshikilia Fatuma Selemani Chikawe ambaye ni mkazi wa kigamboni aliyejifanya mtoto wa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa. WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema hamtambui mwanamke aliyejitambulisha juzi kama binti yake aliyetelekezwa na kwamba hatapoteza muda kwenda kupimwa vinasaba (DNA), kama msichana huyo alivyotaka. Contact us. Moja ya mafanikio makubwa ya uwaziri mkuu wake ni jitihada kubwa na mafanikio ya upatikanaji wa fedha za kujenga chuo kikuu cha Dodoma. JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic. For anything related to this site please Contact us. '', ''CCM niliyoiona Dodoma si CCM niliyokulia”, alisema, na kuongeza “kama Watanzania hawapati maendeleo kupitia CCM basi wakayatafute nje ya CCM”. Bado anaendelea kufahamika kwa jina la utani la ‘Mzee wa maamuzi magumu’. Hotuba ya Edward Lowassa kupitia Tv 23.10.2015. Unakwama kuanzisha akaunti? Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amewataka Watanzania kujali makundi ya watu wenye mahitaji maalumu hususan katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Lowassa amesema kwa upande wake ahadi ya elimu bure aliyokuwa akiinadi wakati wa kampeni, ilikuwa ni kuanzia shule ya awali hadi chuo kikuu na kwamba hata wale walioko mashuleni, wangeguswa na hatua hiyo. “Niliahidi watoto wote walioko na watakaoanza shule kuanzia kindergarten (shule ya awali) hadi chuo kikuu, serikali yetu ingegharimia. ... mpango wa serikali uliofanikiwa wa ujenzi wa shule za kata ambazo uliiletea Tanzania sifa kubwa kwa kutoa fursa ya watoto wengi kupata nafasi shuleni. Kila kona aliyozunguka, mikutano yake ya hadhara ilivutia maelfu ya watu waliomuunga mkono. Umoja usio rasmi wa vyama vinne vya upinzani nchini Tanzania unajulikana kwa jina la Katiba ya Wananchi (UKAWA). Lowassa ambaye anapeperusha bendera ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amesema wananchi wa Ubungo pamoja na Watanzania wengine kote nchini wasisumbuke kumuuliza atapata wapi fedha za kugharamia elimu kwa watoto wa Tanzania. You are always welcome! Mbunge wa sasa wa jimbo hilo, Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa ametangaza nia ya kutogombea tena jimbo hilo, hali ambayo imeibua mvutano kwa makada kadhaa wa CCM wilayani Monduli. Edward Lowassa. Kama unakumbuka siku za hivi karibuni aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu alitangaz0 kujiuzulu nyadhifa zake zote ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ikiwemo Ubunge wa … Picha na Maktaba Lowassa alichaguliwa kuwa Mbunge wa Monduli mwaka 1990 na 1993 aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais (Haki na Mambo… Lowassa amesema kwa upande wake ahadi ya elimu bure aliyokuwa akiinadi wakati wa kampeni, ilikuwa ni kuanzia shule ya awali hadi chuo kikuu na kwamba hata wale walioko mashuleni, wangeguswa na hatua hiyo. kunawatu wameenda chuo wakitokea makazn hawa ndio wanaopata asilimia 100 na wanaotoka ktk familia na yatima hupata asilimia ndogo sana. Mwanajeshi wa zamani na aliyewahi kupigana wakati wa vita kati ya Uganda na Tanzania mwaka 1978/79, Lowassa aliiambia hadhara kwamba akiwa kama mtu mwenye uchungu na nchi yake isingekuwa rahisi kubaki ndani ya CCM huku akiona chama hicho kimepoteza mwelekeo na sifa ya kuongoza nchi. Aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Julius Kalanga alijiuzulu na kujivua uanachama wa Chadema na kuhamia CCM. Edward Ngoyai Lowassa alizaliwa tarehe 26 August 1953, katika kijiji cha Ngarash wilayani Monduli mkoa wa Arusha, akiwa ni mtoto wa 4 kati ya watoto 23 wa mzee Ngoyai Lowassa. Baada ya kumaliza chuo kikuu, Lowassa alifanya kazi ndani ya CCM akiwa ofisa wa ngazi ya juu kuanzia wilaya, mkoa na baadaye makao makuu kati ya mwaka 1977–1989. Lowassa aliingia viwanja vya Temeke Mwembe Yanga saa 11:20 asubuhi kwa msafara uliomhusisha pia Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, Mbunge aliyemaliza muda, Rajabu Mbarouk, Meneja wa Kampeni yake, John Mrema na kada wa Ukawa, Richard Tambwe Hiza. Namelock alikuwa mmoja wa watoto kipenzi cha hayati Sokoine. Chuo hiki kikuu cha umma kilichopo katikati ya Tanzania kilianzishwa mwaka 2007. Kauli hiyo ya Fred imekuja baada ya mwanamke mmoja mkazi wa Kigamboni, Fatuma Lowassa (31), kujitokeza katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, jana Jumanne Aprili 10, akidai kutelekezwa na baba yake ambaye ni Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa. Wasifu wa Edward Lowassa. “Usiniulize hela nitapata wapi? Itapotezewa kama ya J pale UDOM mpaka hajulikani anasoma wapi, Silipi hataa miazile mil 10 walizogawana zikalipe. Lowassa ni mashuhuri pia kwa kusimamia mpango wa serikali uliofanikiwa wa ujenzi wa shule za kata ambazo uliiletea Tanzania sifa kubwa kwa kutoa fursa ya watoto wengi kupata nafasi shuleni. Lowassa Asaidia Watoto Yatima Wa Vituo Vinavyoendeshwa na Waislamu Dar es Salaam Malunde Wednesday, June 22, 2016 Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amewataka Watanzania kujali makundi ya watu wenye mahitaji maalumu hususan katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Watoto wa magufuli nadhani wanatumia jina lake, Joseph Magufuli, Hawa ndio wanatakiwa wawe wa mfano katika hatua zinazochukuliwa na Bodi ya Mikopo. 5 Agosti 2015. JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users.. JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you. Huyu Ruth alimaliza UDSM 2010.. Ni mtoto wa Juma Ponda Mali. Za kutoa elimu bure Tanzania pesa nyingi zipo serikalini. Lowassa ajibu mapigo, ‘mimi kupima DNA ni upuuzi’ Kufuatia zoezi linaloendelea jijini Dar es salaam, ambapo Mkuu wa Mkoa wa huo, Paul Makonda ameamua kuwasaidia kisheria wanawake waliozalishwa na kutelekezwa, Fatma alijitokeza akidai kuwa baba yake ni Edward Lowassa na ameanza kumtafuta tangu akiwa darasa la sita bila mafanikio. Fredrick Lowassa. Kauli hiyo aliitoa jana alipotembelea vituo vya watoto yatima jijini Dar es Salaam vinavyoendeshwa na Waislamu kwa lengo la kuwajenga watoto kiimani. Wakati sakata la Richmond lilipoibuka miaka michache tu iliyopita, Chadema ilimfanya limsakame Lowassa kuwa ni mmoja wa mafisadi wakubwa nchini. Lowassa ni familia kubwa tu, mmoja wa Wanafamilia ni Edward Ngoyai Lowassa! For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding. Hii inatokana na sheria za Tanzania ambayo haitambui umoja wa vyama. Hata hivyo wakati anatangaza kuhamia kwake Chadema, Lowassa alikanusha katu kuhusika kwa namna yoyote na kashfa hiyo na kudai kuwa yeye alifuata tu amri kutoka kwa ‘wakubwa’ walio juu yake. Bernard Lowassa (30), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Oysterbay, Kinondoni, Dar es Salaam kwa tuhuma za kumgonga kwa makusudi askari wa Kikosi cha Usalama barabarani E 9320 Koplo Cyprian akiwa katika kutekeleza majukumu ya kazi. Waziri mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Rais Magufuli: Shule na Shughuli zote kufunguliwa tarehe 29 Juni, 2020, CHATO: Rais Magufuli asema Serikali haitafunga mipaka wala kuwazuia watu kutoka ndani ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona, Rais Magufuli awaagiza RPC na RC wa Njombe kumfungulia upya kesi mtu aliyeachiliwa huru na Mahakama kwa makosa ya kubaka watoto 11, Tusimuonee Rais Dkt. Aidha, amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutumia vizuri mamlaka yake. Mshika bendera wa muungano wa vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu ujao ambaye pia alikuwa ni Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa . Mercy alifariki nchini Afrika Kusini ambapo alikuwa akipatiwa matibabu katika Hosptali ya … Wasifu wa Edward Lowassa . Wakati akiwa Waziri Mkuu, Lowassa alisifika kama mchapakazi hodari na msimamiaji wa moja kwa moja wa shughuli za serikali. Kardinali Rugambwa alitimiza miaka 25 mnamo Machi 28, 1985. MTOTO wa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Bw. Edward Ngoyai Lowassa ni mwanasiasa wa Tanazania aliekuwa waziri mkuu wa Jamhuri kati ya mwaka 2005 na 2008, akihudumu chini ya rais Jakaya Kiwete. Edward Lowassa akitoa mkono wa pole kwa wajane wa Marehemu. Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Je Marekani na China wako kwenye vita baridi'? Soma kuhusu mtazamo wetu wa viambatanishi vya nje. We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually. Edward Lowassa amemuoa Regina Lowassa na kujaliwa kupata watoto watano, watatu wakiume na wawili wa kike. Mhe. Mtoto mkubwa wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Fred Lowassa, ameshangaa mwanamke aliyejitokeza na kudai kuwa ni binti wa mwanasiasa huyo. Lowassa Asaidia Watoto Yatima Wa Vituo Vinavyoendeshwa na Waislamu Dar es Salaam Malunde Wednesday, June 22, 2016 Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amewataka Watanzania kujali makundi ya watu wenye mahitaji maalumu hususan katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Lowassa alikimbilia upinzani baada jina lake kukatwa wakati alipoomba kuwa mgombea urais kupitia chama tawala CCM katika uchaguzi mkuu ujao utakaofanyika baadaye mwezi huu . Wakati mchakato wa CCM wa kumtafuta mgombea wao wa urais ulipoanza, Lowassa ndiye aliyekuwa kinara wa wagombea wote 42. Mh Edward Lowassa akiwa miongoni mwa viongozi wachache wanaotambua na kuthamini mchango wa vijana ambao kitaifa ni juu ya asilimia hamsini (50 %) , hapa akitumia muda wake kubadilishana mawazo na vijana. Published on Friday, October 23, 2015 ... • Baada ya zaidi ya miaka 50 ya Uhuru tunashuhudia wakina mama wengi wanaotuzalia watoto wa taifa hili na vichanga vyao vikizaliwa sio kwenye kitanda kilichotayarishwa bali sakafuni; cjui wamekula maharage ya wap hawa wa2 n hatar kwa mustakabal wa watoto wa maskn ktk nch h! Edward Lowassa amefunguka kwa mara ya kwanza tangu kuzuke tuhuma kuwa ni moja ya viongozi wakubwa wa kisiasa nchini waliotelekeza watoto. Cyril Chami, kulitokana na ushawishi mkubwa wa aliyekuwa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa. Pia ameonesha kutokuridhishwa na mwenendo wa Makonda. JavaScript is disabled. Kutoka mkoani Arusha, Fredrick Lowassa anawawakilisha wananchi wa Jimbo la Monduli lililoongozwa na baba yake, Edward lowassa tangu mwaka 1990 mpaka 2015 alipotimkia upinzani. Mtoto wa Mzee Ngoyai Lowassa, ambaye aliwahi kuwa mtumishi wa serikali ya kikoloni, Lowassa ameanza harakati zake za kuwania urais tangu mwaka 1995 lakini inaarifiwa kwamba rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Nyerere alimkatalia kushika nafasi hiyo. Lowassa ameushutumu mchakato CCM wa kutafuta mgombea urais akiuita kuwa ulijaa chuki na mizengwe dhidi yake, hali ambayo aliifananisha na ‘ubakaji wa demokrasia’, “Nitakuwa mnafiki nikisema bado nina imani na CCM. BBC haihusiki na taarifa za kutoka mitandao ya nje. Balozi Kaduma (82) alifariki dunia usiku wa kuamkia Agosti 31, 2019 akiwa nchini India alikoenda kwa ajili ya matibabu. Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni? Ameshinda. Aidha, amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutumia vizuri mamlaka yake. Akiwa mwenye imani ya msalaba wa uongozi Mh Edward Lowassa aliamini kwa kuona na sio tu kuletewa taarifa. Mhe. It may not display this or other websites correctly. Unaweza pia ukawa chaka vilevile! Pia ameonesha kutokuridhishwa na mwenendo wa Makonda. Najiuliza Tu Watalipaje Nawakati Hawana Ajira? Kuhama kwake kunamfanya Lowassa kuwa ndie kiongozi wa kwanza wa ngazi ya juu kabisa wa CCM kukihama chama hicho tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania mnamo mwaka 1992. © 2021 BBC. ... mpango wa serikali uliofanikiwa wa ujenzi wa shule za kata ambazo uliiletea Tanzania sifa kubwa kwa kutoa fursa ya watoto wengi kupata nafasi shuleni. Soma kuhusu mtazamo wetu wa viambatanishi vya nje. We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one. Unashangaa "Mwanafunzi" kudaiwa Mkopo badala ya kushangaa Mkulu wa nchi kudaiwa Bil 6.7 za mchango wa wasiojiweza? Mercy alifariki nchini Afrika Kusini ambapo alikuwa akipatiwa matibabu katika Hosptali ya … Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania Edward Ngoyai Lowassa Jumanne alikutana na Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli na kumsifu sana kwa kazi anayoifanya. Dr.Adda Lowassa akiwa na mumewe Noel mara baada ya kula kiapo cha Ndoa. Aliajiriwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Arusha (AICC), mwaka 1989–1990. North lina maana ya kaskazini, Saint ni mtakatifu wakati Chicago ni mojawapo ya majimbo nchini Marekani na Psalm ni … Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akisalimiana na Mmoja wa Walimu wa Shule ya Mtakatifu Ann's iliopo Mkoani Morogoro, Sista Martha (kushoto) wakati akiwasili shuleni hapo.Kulia ni Mke wa Lowassa, Mama Regina Lowassa na wa pili kushoto ni Mkuu wa Shule hiyo, Sista Dennis. Lowassa na wanasiasa wengine wa Monduli kuingia katika siasa,amefariki akiwa na umri wa miaka 120,alioa wake 9 na kufanikiwa kupata watoto 53. Kwahiyo sio kila unayemuona anaitwa lowassa ukamfananisha na lowassa bingwa wetu. 5 Agosti 2015. Kilichowashtua wengi ni ukawaida wa majina hayo, huku yakiwa tayari yameshatumika kwa namna nyingine kabla ya wao kuwapa watoto wao. Mwaka 2008 ulipoanza, Askofu Methodius Kilaini alitoa kitabu kiitwacho “Kardinali Rugambwa-Tulivyomfahamu”. ... Kuna umuhimu mkubwa wa kuwalea watoto na vijana kwa kuwatia moyo na kuwaonyesha jinsi gani wana mchango mkubwa katika taifa lao. Sio kweli, pombe sio sir name ya ukoo wa magufuli. You are using an out of date browser. ALIYEKUWA Mgombea Urais wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa amemkaribisha aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, ambaye amejivua uanachama na kuachia nyadhifa zote alizokuwa nazo ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).. Lazaro Nyalandu (47), aliyekuwa mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, alitumia nafasi hiyo … WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ameongoza harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa Kuu (Cathedral) la KKKT, Dayosisi ya Kaskazini Kati, ambalo litakuwa na uwezo wa kubeba waumini 1,700. Bernard Lowassa (30), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Oysterbay, Kinondoni, Dar es Salaam kwa tuhuma za kumgonga kwa makusudi askari wa Kikosi cha Usalama barabarani E 9320 Koplo … UCHAMBUZI WA RIWAYA-WATOTO WA MAMA NTILIE UCHAMBUZI WA FASIHI ... Mzee wa Mshitu: LOWASSA AIBUKIA SOKONI ANYWA UJI WA MAMA NTILIE Mh Edward Ngoyai Lowassa na mgombea mwenza, Juma Duni wakiwa katika Soko la Tandale asubuhi ya leo kuzungumza na watanzania wa kipato cha chini ili: pin. Lowassa alikuwa Waziri Mkuu kati ya mwaka 2005 na 2008 kabla ya kujiuzulu wadhifa huo kufuatia kashfa ya rushwa iliyohusisha kampuni ya kuzalisha umeme ya ki-Marekani Richmond Development Company LLC ya Houston Texas. “Kama kuna mtu yeyote mwenye ushahidi basi na aende mahakamani ama sivyo anyamaze” alisema Lowassa. Mfano unaotolewa ni wa nafasi nono ndani ya Umoja wa Vijana (UVCCM) ambako majina ya watoto wa vigogo ndiyo yanayong’ara. Kutoka maisha ya ufukara hadi kuwa milionea, 'Nilibaini mume wangu anatengeneza picha za ngono', Fahamu umuhimu wa nywele katika sehemu tofauti za mwili, Hadithi ya rais ambaye alikabiliana na corona tofauti na dunia. Ambapo baadaye Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuli ndiye aliyeibuka kidedea na kuwa mgombea kupitia chama tawala CCM. Sio kila mzungu ni padre. Kufuatia Mwanadada aliyejitokeza kudai kuwa ni binti wa Mh Edward Lowassa, Mtoto mkubwa wa Mzee Lowassa, Fred Lowassa ameibuka na kusema kwao Monduli mtoto ni baraka. “Niliahidi watoto wote walioko na watakaoanza shule kuanzia kindergarten (shule ya awali) hadi chuo kikuu, serikali yetu ingegharimia. Je unamfahamu Edward Lowassa ni nani katika siasa za Tanzania ? Hatua ya mwanasiasa huyo mashuhuri nchini Tanzania kuamua kujiunga na chama cha upinzani Chadema, ikiwa imebaki miezi mitatu tu kuelekea uchaguzi mkuu, imebadilisha kabisa upepo wa kisiasa nchini Tanzania, na hasa uchaguzi mkuu ujao. Mtoto mkubwa wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Fred Lowassa, ameshangaa mwanamke aliyejitokeza na kudai kuwa ni binti wa mwanasiasa huyo. Hata hivyo mchujo wa chama ulipofanyika jina lake lilikatwa mapema kabla hata ya kupelekwa kwenye vikao vya vya juu vya chama hicho. You MUST read them and comply accordingly. Edward Lowassa akisalimiana na Mdau Bashir Awale, nje ya Ofisi za CCM Mkoa wa Pwani, leo Juni 28, 2015, kabla ya kuelekea kwenye Ofisi CCM Wilaya ya Kibaha Mjini kukabidhiwa orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu … Wafuasi wa Lowassa wamekuwa wakiyatupilia mbali madai hayo. Ngoyai ni jina la baba yake Edward (former PM), so Godson anaweza kutoka popote katika familia hiyo kubwa! Wakati chama cha CCM kilimtaka kila mgombea apate sahihi za wadhamini 450 lakini Lowassa alipata sahihi za wadhamini zaidi ya 700,000. Tanzania iko tayari kuwa na Rais mwanamke? Zoezi la akinamama waliotelekezewa watoto linaondeshwa na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh. Ukurasa wa nane kina picha ya sita anaonekana Regina Lowassa akimpongeza Laurean Kardinali Rugambwa kutimiza miaka 25 ya ukardinali. Kuna watu wanaitwa Ngoyai Lowasa appart ftom Edward , what a coincidence ! Wasifu wa Edward Lowassa . Lema aliyasema hayo jana wakati akizungumza na Nipashe, kuhusiana na tathimini yao waliyoifanya Novemba 7, mwaka huu baada ya kupitia zoezi zima la uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu. Lakini wakati chama hicho kinamkaribisha kuwa mwanachama wao, kiligeuka na kusema hakuna mtu msafi nchini na kwamba hawawezi kuacha kumpokea mwanasiasa mwenye mtaji mkubwa wa wafuasi kama Lowassa. Kabla ya kujiengua chama Tawala chama cha Mapinduzi CCM, Edward Lowassa amekuwa mwanachama wa CCM kwa muda wa miaka 38, ambapo alijiunga na chama hicho mara tu baada ya kumaliza elimu yake ya chuo kikuu mwaka 1977. Mbali na Rais Magufuli, miongoni mwa viongozi wengine walioshiriki ibada hiyo ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. You must log in or register to reply here. Majina hayo ni ya Dickson Membe, Freddy Lowassa, Ridhiwani Kikwete, Ashura Hussein Mwinyi, Ben Samuel Sitta, Debora Mwandosya, Irene Mizengo Pinda, Felister Job Ndugai, Christopher Ndejembi, Sharifa Gharib Bilal, Hawa Abdallah Kigoda, Judith … Hii ni mara yake ya kwanza, Fred kutu karata yake kwenye siasa na bahati imekuwa upande wake. hakuna watu makanjanja na jeur kama bodi ya mikopo,kwanza haiangalii wa2 ambao wanaotoka ktk mazingira magum,pia hawana kumbu2 sahihi kuhusu wadaiwa! Ulipofika uchaguzi wa mwaka 2005, Lowassa hakutaka kuwania urais, lakini badala yake alimnadi rafiki yake wa siku nyingi Rais wa sasa Jakaya Kikwete ambaye alipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya asilimia 80. Ile ndoa iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu, ya mtoto wa Waziri Mkuu mng'atuka Edward Lowassa, Dr.Adda na Noel hatimaye imefungwa katika Kanisa la KKKT Msasani Dar es salaam, na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na viongozi wa Serikali. Mbali na Rais Magufuli, miongoni mwa viongozi wengine walioshiriki ibada hiyo ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Kufuatia Mwanadada aliyejitokeza kudai kuwa ni binti wa Mh Edward Lowassa, Mtoto mkubwa wa Mzee Lowassa, Fred Lowassa ameibuka na kusema kwao Monduli mtoto ni baraka. Pembeni ni Mke wa Lowassa, Regina Lowassa.